info@wazohillsaccos.co.tz +255 764 472 730

Wazo Kibubu

  • Service Type: Deposits
  • Date Created: 1 year ago

Wazo Kibubu

Mwanachama akitaka kufunga akaunti hii, atapoteza sifa za kupata faida zilizozalishwa katika mwaka husika

 Utaratibu wa akaunti hii, utakuwa kama ifuatavyo:

  • Fedha zitatolewa na mzazi/ mlezi hadi mtoto huyo atakapofikisha umri wa miaka 18, ambapo mzazi/mlezi atatoa idhini ya maandishi kwa mtoto husika kuwa ataendesha akaunti yake mwenyewe.
  • Kiwango cha chini cha kufungua akaunti ni Tsh 50,000/=
  • Mwenye Akaunti hii, hatoruhusiwa kuchukua hela wakati wowote isipokua mara moja kwa mwaka. (desemba)
  • Fedha katika akaunti hii zitalipwa riba kiasi cha asilimia 5% kwa mwaka.
  • Fedha katika akaunti hii, haiwezi kutumika kama dhamana ya mkopo